Ikiwa ni kuthamini juhudi na nafasi ya mwanamke duniani. Uongozi wa Shule ya Sekondari Uchile umetoa Baraka zake kataka Maadhimisho ya Sikukuu ya wanawake kishule yatakayo fanyika tarehe 8 ya mwezi machi 2024 ikijumuisha walimu na watoto wote wa kike.
Shule ya Sekondari Uchile inawatakiaWanawake wote Sikukuu njema.
No comments:
Post a Comment
Share experience with us " Buld the new generation by supporting teaching and learning process"